Nafasi 105 za Kazi Kutoka Ajira Portal na Utumishi Novemba 2024 | NBS, DIT, IAA

Ajira Nafasi 105 za Kazi Kutoka Ajira Portal na Utumishi Novemba 2024 | NBS, DIT, IAA 08 Novemba 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Kwa niaba ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS), Taasisi ya Uhasibu Arusha, Wizara ya Maji, na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wenye sifa zinazofaa, walio na uzoefu, ari na mwamko kujaza nafasi za kazi mia moja na tano (105) zilizotajwa kwenye PDF hapo juu.

Kwa maelezo zaidi kuhusu nafasi zilizo tangazwa tafadhali tembelea tovuti ya Ajira Portal.
Nafasi 105 za Kazi Kutoka Ajira Portal na Utumishi Novemba 2024 | NBS, DIT, IAA
Author
Gift
Downloads
1,731
Views
3,780
First release
Last update

Ratings

0.00 star(s) 0 ratings

More resources from Gift

Back
Top Bottom