Abdi Moalin "Tunakwenda Kushinda Kwa Al Hilal" Kwenye Michuano Ya Klabu Bingwa Africa Hatua Ya Makundi TotalEnergies CAFCL

Abdi Moalin "Tunakwenda Kushinda Kwa Al Hilal" Kwenye Michuano Ya Klabu Bingwa Africa Hatua Ya Makundi TotalEnergies CAFCL 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Tunaenda kwa Al Hilal kupata alama tatu, hatuna presha na hata msimu uliopita wachezaji walikutana na hali kama hii, sisi tunajiamini na tumejiandaa kurudi na alama tatu.
FB_IMG_1736416455046.webp

Tumeshamaliza home work yetu, tumewaangalia na kuchambua makosa ya mechi yetu ya mwisho na wao wanajua wapi sisi ni hatari, tunaenda kucheza mechi ngumu wachezaji wetu wamejianda kwenda kucheza hii mechi ngumu na hesabu zetu ni kurudi na alama tatu.

Abdi Hamid Moalin Mkurugenzi wa Ufundi/Kocha Msaidizi Yanga.
 
Back
Top Bottom