Al Hilal Wafusu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

Al Hilal Wafusu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Al Hilal kutoka Sudan 🇸🇩 inakuwa timu ya kwanza msimu huu kwenye CAFCL kufuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo .

Kwenye michezo minne amekusanya Alama 10 .
FB_IMG_1736134554168.webp


Kwasasa ni Yanga wenyewe washinde game zao bila kuangalia matokeo ya MC Alger ….. hii ni baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Hilal maana yake linatengenezeka gap ya Alama 1 Kati ya Yanga na Alger mwenye Alama 5.

Kama Hilal angepoteza basi kazi kubwa wangekuwa nayo Yanga: Yaani ushinde then umuombee mwenzako apoteze game yake . But Kwasasa ni rahisi kwasababu unahitaji ushindi kwako na sio kudeal na game za mwingine.

Al Hilal ana Alama 10 then Mc Alger anafuatia akiwa na 5 tofauti ya Alama moja na Yanga …. Tp Mazembe akiwa na Alama 2 Hali yake ni ngumu kidogo kwasababu anahitaji maombi mengi sana then ashinde na game zake zote mbili.
 
Back
Top Bottom