Jinsi ya kutuma maombi Mafunzo ya KOICA 2025

Jinsi ya kutuma maombi Mafunzo ya KOICA 2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,640
Jinsi ya kutuma maombi Mafunzo ya KOICA Nafasi za Utumishi
TANGAZO LA KOZI ZA MAFUNZO CHINI YA KOREA INTERNATIONAL COOPERATION AGENCY (KOICA) KWA MWAKA 2025-2026 NCHINI KOREA KUSINI (MASTERS DEGREE)
  • Taarifa za maombi na nyaraka nyingine muhimu zinapatikana kupitia kiungo:
    Bonyeza hapa kutuma maombi
    Menu
    - Stay connected - notice
  • Waombaji wanatakiwa kufungua faili la Programu ya Mafunzo wanayohitaji, kujaza fomu, kuchapisha, kuthibitisha, na kuwasilisha ofisini moja kwa moja au kupitia EMS kabla ya tarehe ya mwisho, 31 Desemba, 2024.
KOICA Scholarship Training Courses


NB: Ni waombaji waliopitishwa pekee watakaowasiliana nao.

Kwa maelezo zaidi au ufafanuzi, tafadhali wasiliana na Idara ya Maendeleo ya Rasilimali Watu wakati wa saa za kazi kupitia namba:
  • 0758 375164 (Theresia Ngasa)
  • 0717 509809 (Rehema Nungu).
Barua zote ziandikwe kwa anuani ifuatayo:
Jinsi ya kutuma maombi Mafunzo ya KOICA 2025
Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mji wa Serikali Mtumba,
Mtaa wa Utumishi,
S.L.P. 670,
DODOMA.
 
Back
Top Bottom