Kitabu cha Somo la Ualimu

Kitabu cha Somo la Ualimu Chuo cha Tandala

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Kitabu hiki kimeandaliwa ili kumwezesha mkufunzi na mwanachuo wa ualimu ngazi ya cheti kuelewa mambo muhimu ya kufundisha na kujifunza. Kuandaliwa kwa muhtasari huu kunatokana na uamuzi wa serikali wa mwaka 2008 wa kuimarisha mafunzo ya ualimu ili kuwajengea walimu na wanafunzi ujuzi na uelewa wa kutosha katika somo la ualimu. Ili kutimiza azima hii ya serikali, muhtasari huu umeandaliwa ili kumwezesha mwanachuo kupata fursa ya kuelewa mambo muhimu nay a msingi kuhusu elimu na kazi ya ualimu.
Kitabu cha Somo la Ualimu

Muhtasari huu unachukuwa nafasi ya mihtasari ya masomo manne ya ualimu ya mwaka 2003 ambayo ni;
  • Misingi ya elimu
  • Mitaala na ufundishaji
  • Upimaji, tathimini na utafiti
  • Saikolojia ya elimu
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom