- Views: 4K
- Replies: 2
Leo, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwajulisha waombaji kazi wa kada za Ualimu wanaofanyia saili zao Mkoa wa Dar es Salaam kuwa, Usaili wa kuandika utafanyika katika Shule ya Sekondari Jitegemee (Mgulani Jkt Dar es Salaam) badala ya Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dar es salaam, kama ilivyooneshwa kwenye Tangazo la awali la kuitwa kwenye Usaili.
Kada zote zitakazofanya Usaili Tarehe 29 Januari, 2025, 05 Februari, 2025, 12 Februari, 2025 na 19 Februari, 2025 mnatakiwa kwenda katika Shule ya Sekondari Jitegemee (Mgulani Jkt Dar es Salaam) kwa ajili ya kufanya Usaili.
Aidha, muda wa usaili utabaki kama ulivyo kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
Kada zote zitakazofanya Usaili Tarehe 29 Januari, 2025, 05 Februari, 2025, 12 Februari, 2025 na 19 Februari, 2025 mnatakiwa kwenda katika Shule ya Sekondari Jitegemee (Mgulani Jkt Dar es Salaam) kwa ajili ya kufanya Usaili.
Aidha, muda wa usaili utabaki kama ulivyo kwenye tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili.
Nafasi za Kazi DCB Bank
Ajira Mpya 2025
Nafasi za Kazi TWCC
Ajira Mpya 2025