Majina ya Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi | Taasisi Mbalimbali PDF

Majina ya Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi | Taasisi Mbalimbali PDF 20241115

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,737
Gift submitted a new resource:

Majina ya Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi | Taasisi Mbalimbali PDF - Kuitwa kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi na Ajira Portal PDF, Kada za Afya, walimu, na zingine.

Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi | Taasisi Mbalimbali PDF Tangazo la Matokeo ya Usaili kwa Waombaji Kazi PSRS 2024.

Kuitwa kazini utumishi na ajira portal
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawaarifu waombaji wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 01 Mei 2023 mpaka 13 Septemba 2024 kuwa matokeo ya usaili yamechapishwa rasmi. Matokeo haya yanajumuisha waombaji...

Read more about this resource...
 
Gift updated Majina ya Walioitwa Kazini Sekretarieti ya Ajira Utumishi | Taasisi Mbalimbali PDF with a new update entry:

TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI MBALIMBALI 15-11-2024

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 12-09-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

Tangazo la kuitwa kazini​

Kuona orodha kamili ya...

Read the rest of this update entry...
 
Back
Top Bottom