Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania Kutoka Kesho

Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania Kutoka Kesho Interview TRA

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Orodha ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania Kutoka Kesho.

Mkurugenzi wa Rasilimali watu na utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Moshi Jonathan Kabegwe amesema majina ya waombaji wa ajira 1596 za TRA zilizo tangazwa hivi karibuni yatatangazwa rasmi tarehe 22, Machi 2025 kupitia tovuti ya TRA (tra.go.tz) kwa ajili ya usaili wa kuandika utakao fanyika Machi 29 na 30 mwaka huu kwenye vituo 9.
Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania Kutoka Kesho
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom