Manispaa ya Iringa imetangaza orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC December 2024

Manispaa ya Iringa imetangaza orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC December 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,733
Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Iringa Mjini anapenda kuwataarifu waombaji wa kazi ya muda ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuwa usaili utafanyika kama ifuatavyo:
  • Tarehe: Kuanzia Jumanne, 10/12/2024 hadi Jumatano, 11/12/2024
  • Mahali: Ukumbi wa Shule ya Msingi Lugalo
  • Muda: Saa 2:00 kamili asubuhi
Manispaa ya Iringa imetangaza orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC December 2024

Tafadhali zingatia yafuatayo:
  1. Wasailiwa wote wanatakiwa kufika kwa wakati ili kuepuka changamoto za kuchelewa.
  2. Orodha ya waombaji waliofanikiwa kufikia hatua ya usaili imeambatishwa kwenye tangazo hili.
Ni muhimu kufuata maelekezo na kuzingatia muda uliopangwa. Tunawatakia kila la heri katika usaili huu.

Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na ofisi ya Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Iringa Mjini.
 

Download PDF

Back
Top Bottom