Mkurugenzi wa Mji Kasulu Ametangaza Nafasi za Kazi leo 22 Octoba 2024

Mkurugenzi wa Mji Kasulu Ametangaza Nafasi za Kazi leo 22 Octoba 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,640
PSRS: Leo 22 Octoba 2024, Mkurugenzi wa Mji Kasulu amepokea kibali cha ajira mpya kwa Ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumbu Na. FA.228/613/01/C/021 cha tarehe 25 Juni, 2024. Hivyo watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo katika PDF hapa chini.
Mkurugenzi wa Mji Kasulu Ametangaza Nafasi za Kazi leo 22 Octoba 2024


Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 28 OKTOBA, 2024
 
Back
Top Bottom