Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Msimu uliopita Vumi Ley Matampi alitwaa Tuzo ya golikipa bora akiwa na Cleen sheet 15 kwenye mechi 24 za Nbc PL alizosimama langoni.

Msimu huu 2024/2025 Moussa Pinpin Camara tayari ana cleen sheet 12 mzunguko wa kwanza tu... (mechi 15)

Amebakiza Cleen sheet 3 kuifikia rekodi ya Matampi aliyoweka msimu jana 2023/2024 akiwa na Coastal Union.

Sioni wa kumzuia Camara kutwaa Tuzo hii
FB_IMG_1735469341638.webp
 
Back
Top Bottom