Nafasi 2 za Ajira Mpya Kutoka Manispaa ya Bukoba Utumishi Octoba 2024

Nafasi 2 za Ajira Mpya Kutoka Manispaa ya Bukoba Utumishi Octoba 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,644
PSRS: Leo, tarehe 23, 2024 wametangaza nafasi za kazi katika ajira mpya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba amepokea kibali cha ajira chenye Kumb.Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Utawala Bora. Anawatangazia Watanzania wote wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 2 za Msaidizi wa Kumbukumbu II kama inavyoonekana hapa chini:-

Nafasi zilizo tangazwa​

  1. Msaidizi wa kumbukumbu - Nafasi 2
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 04, Novemba, 2024
Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu.
 
Back
Top Bottom