Nafasi za Ufadhili wa Masomo MUHAS 2025

Nafasi za Ufadhili wa Masomo MUHAS 2025 Tanzania Scholarship

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Nafasi za Ufadhili wa Masomo Chuo Kikuu cha Muhimbili cha Sayansi ya Afya na Shirikishi (MUHAS) 2025 kimepokea msaada wa miaka sita (2024-2030) kutoka kwa Serikali ya Sweden kupitia Shirika lake la Maendeleo la Kimataifa (Sida). Msaada huu unalenga kuchangia jitihada za kukabiliana na changamoto za afya nchini Tanzania na kuboresha matokeo ya afya kwa kuimarisha uwezo wa mafunzo na utafiti katika chuo hicho pamoja na taasisi nyingine za utafiti na mafunzo nchini.

Msaada huu utahusisha kugharamia ada za masomo, posho za kila mwezi, pamoja na msaada wa utafiti kwa wanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD).
Nafasi za Ufadhili wa Masomo MUHAS 2025

MUHAS Scholarship


Download tangazo zima hapo chini
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom