Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini walimu, Afya na kada mbalimbali leo, Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-05-2024 na tarehe 11-02-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Pakua PDF ya majina hapo chini.
Pakua PDF ya majina hapo chini.
Maswali ya Usaili Human Resources (HR) na Administration 2025-26
Interview Questions
Attachments