TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 15-03-2025 UTUMISHI

TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 15-03-2025 UTUMISHI Ajira Portal

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Orodha ya majina ya walioitwa kazini walimu, afya na kada mbalimbali leo. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 05-09-2024 na tarehe 24-02-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
 TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 15-03-2025 UTUMISHI


Pakua PDF hapo chini.
 

Download PDF

Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom