TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 12-03-2025 AJIRA PORTAL

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 12-03-2025 AJIRA PORTAL Interview

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Makamu Mkuu wa Chuo kwa niaba ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 18-03-2025 hadi 19-03-2025 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 12-03-2025 AJIRA PORTAL
 

Attachments

Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom