Walioitwa kazini Ajira Portal Leo Tarehe 25/01/2025

Walioitwa kazini Ajira Portal Leo Tarehe 25/01/2025 Utumishi

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Leo Tarehe 25/01/2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 27-04-2024 na tarehe 18-12-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Walioitwa kazini Ajira Portal Leo Tarehe 25012025.webp


Bonyeza hapa kudownload PDF
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom