ZanAjira; Nafasi za kazi 461 Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali December 2024 kama ifuatavyo:
2. Mwalimu wa ‘Physics’ Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 64 Unguja na Nafasi 34 Pemba
3. Mwalimu wa Elimu ya biashara Daraja la II (ZPSG - 04) Nafasi 68 Unguja na Nafasi 38 Pemba
4. Mwalimu wa ‘TEHAMA’ Daraja la III (ZPSI - 02) Nafasi 53 Unguja na Nafasi 47 Pemba
5. Mwalimu wa ‘Engineering Science’ Daraja la II (ZPSI - 02) Nafasi 3 Pemba
6. Mkutubi Msaidizi Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 1 Pemba
7. Lab technician Daraja la III (ZPSE-08) Nafasi 7 Pemba
8. Mwalimu wa Maandalizi Daraja la III (ZPSE-06) Nafasi 9 Pemba
9. Mwalimu wa ‘Michezo’ Daraja la III (ZPSE-06) Nafasi 4 Pemba
10. Mwalimu wa ‘Mathematics’ Daraja la II (ZPSG - 06) Nafasi 11 Pemba
11. Mwalimu wa ‘Physics’ Daraja la II (ZPSG - 06) Nafasi 11 Pemba
Ajira zilizo tangazwa
1. Mwalimu wa ‘Mathematics’ Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 66 Unguja na Nafasi 46 Pemba2. Mwalimu wa ‘Physics’ Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 64 Unguja na Nafasi 34 Pemba
3. Mwalimu wa Elimu ya biashara Daraja la II (ZPSG - 04) Nafasi 68 Unguja na Nafasi 38 Pemba
4. Mwalimu wa ‘TEHAMA’ Daraja la III (ZPSI - 02) Nafasi 53 Unguja na Nafasi 47 Pemba
5. Mwalimu wa ‘Engineering Science’ Daraja la II (ZPSI - 02) Nafasi 3 Pemba
6. Mkutubi Msaidizi Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 1 Pemba
7. Lab technician Daraja la III (ZPSE-08) Nafasi 7 Pemba
8. Mwalimu wa Maandalizi Daraja la III (ZPSE-06) Nafasi 9 Pemba
9. Mwalimu wa ‘Michezo’ Daraja la III (ZPSE-06) Nafasi 4 Pemba
10. Mwalimu wa ‘Mathematics’ Daraja la II (ZPSG - 06) Nafasi 11 Pemba
11. Mwalimu wa ‘Physics’ Daraja la II (ZPSG - 06) Nafasi 11 Pemba
Jinsi ya Kuomba Nafasi za Kazi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (ZanAjira)
Ili kuomba nafasi za ajira zinazotangazwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, fuata maelekezo yafuatayo:Hatua za Kuomba:
- Njia ya Kuomba:
- Maombi yote yanawasilishwa kwa njia ya Kielektroniki kupitia Mfumo wa Maombi ya Ajira wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (ZanAjira).
- Tembelea anuani rasmi: https://portal.zanajira.go.tz.
- Tarehe Muhimu:
- Maombi yataanza kupokelewa tarehe 16 Disemba, 2024 hadi tarehe 31 Disemba, 2024. Hakikisha unawasilisha maombi yako ndani ya muda uliopangwa.
- Maelekezo ya Kuandika Maombi:
- Barua ya maombi lazima itumwe kwa njia ya kielektroniki pekee kupitia mfumo wa ZanAjira.
- Anwani ya kuwasilisha maombi:
KATIBU,
TUME YA UTUMISHI SERIKALINI,
S.L.P 1587, ZANZIBAR.
- Maelezo Muhimu kwa Waombaji:
- Kila muombaji lazima aainishe nafasi ya kazi anayoiomba ili kurahisisha mchakato wa usaili.
- Waombaji waliomaliza chuo lakini bado hawajapata vyeti wanaruhusiwa kuomba kwa kutumia Transcript. Hata hivyo, watatakiwa kuwasilisha cheti halisi kabla ya kuanza kazi.
- Mahali pa Kupata Taarifa:
- Tangazo hili linapatikana pia kwenye tovuti rasmi ya Tume ya Utumishi Serikalini: www.zanajira.go.tz.
- Msaada wa Kitaalamu:
- Ikiwa utapata changamoto au unahitaji msaada wa kitaalamu, wasiliana na Tume ya Utumishi Serikalini kupitia simu:
0773 101012.
- Ikiwa utapata changamoto au unahitaji msaada wa kitaalamu, wasiliana na Tume ya Utumishi Serikalini kupitia simu:
Attachments