Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025

Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025 2025-02-13

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa kifungu cha 14(4) cha Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Sura ya 427, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 5(1) ya Kanuni za Utumishi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji za mwaka 2008, anatangaza nafasi za ajira ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa vijana wenye sifa zifuatazo:
Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025

Nafasi za Ajira Jeshi la Zimamoto Tanzania 2025

Nafasi za Ajira Jeshi la Zimamoto Tanzania 2025-1

Nafasi za Ajira Jeshi la Zimamoto Tanzania 2025-2
Author
GiftVerified member
Downloads
427
Views
5,048
First release
Last update

Ratings

0.00 star(s) 0 ratings

More resources from Gift

Similar resources Most view View more
Back
Top Bottom