Hili hapa orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili ajira portal na utumishi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe {{20/06/2025 hadi tarehe 21/06/2025 }} na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo hapo juu kwenye PDF.