Search results

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza! Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...
  2. SINGIDA WAAHIDIWA MILIONI 50 KUMFUNGA SIMBA

    SINGIDA WAAHIDIWA MILIONI 50 KUMFUNGA SIMBA

    Inaelezwa kuwa Bosi wa Singida Black Stars ameweka ahadi ya donge nono kama motisha kwa wachezaji ili waweze kumzuia mnyama kupata pointi tatu leo. Kigogo huyo amatoa ahadi ya Sh 50 milioni kwa wachezaji kama wataweza kuibuka na ushindi dhidi ya Simba.
  3. Wawili Simba sports club Kuikosa Singida black star Leo 28 December 2024.

    Wawili Simba sports club Kuikosa Singida black star Leo 28 December 2024.

    Wawili Simba Kuikosa Singida Black Stars Leo Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa Kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Leo Jumamosi katika uwanja wa CCM LITI. Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Fadlu...
  4. Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

    Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

    Klabu ya Singida Black Stars imetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC. Mchezo huo utapigwa Leo Jumamosi tarehe 28 December 2024, kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Liti, Mkoani Singida. Viingilio hivo vimetajwa kuwa Kwa mzunguuko itakuwa ni Tsh 10,000, huku...
  5. Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC PL

    Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC PL

    KIKOSI Cha Simba SC vs Singida Black Stars Leo 28 December 2024 Klabu ya Simba SC itakuwa ugenini kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars FC. Mchezo huo utapigwa December 28, 2024 kwenye Uwanja wa Liti Mkoani Singida. Kuelekea mchezo huo, Wananchiforum...
  6. Michezo Ya Leo Jumamosi 28 December 2024

    Michezo Ya Leo Jumamosi 28 December 2024

    Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumamosi 28 December 2024 Tanzania – Premier League 16:00 Singida Black Stars vs Simba SC 18:15 Dodoma Jiji FC vs Mashujaa Italy – Serie A 17:00 Empoli vs Genoa 17:00 Parma vs Monza 20:00 Cagliari vs Inter Milan 22:45 Lazio vs Atalanta Portugal – Primeira Liga...
  7. Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024

    Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024

    Haya hapa Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024
  8. Mchezo Umetamatika: Simba sc 1 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025.

    Mchezo Umetamatika: Simba sc 1 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025.

    Performance bora kutoka kwa kipa Wa JKT,Yakoub Suleiman🙌 Kipindi cha kwanza amefanya saves Za kutosha ila ile ya kichwa cha Ateba inaweza kuwa Save bora ya mwaka. Jamaa yuko active Muda wote,anasoma vizuri movement Za Wachezaji Wa Simba kabla hawajapiga. Simba iliwabidi kutumia njia mbadala...
  9. Kikosi Cha Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024.

    Kikosi Cha Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024.

    🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒...Kikosi kinachoanza dhidi ya JKT Tanzania Moussa CAMARA (GK) Shomari KAPOMBE Valentin NOUMA Abdulrazak HAMZA Che MELONE Fabrice NGOMA (C) Ladack CHASAMBI Debora MAVAMBO Leonel ATEBA Awesu AWESU Elie MPANZU
  10. Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC. Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
  11. Michezo Ya Leo Jumanne 24 December 2024

    Michezo Ya Leo Jumanne 24 December 2024

    Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumanne 24 December 2024 Tanzania – NBC Premier League 14:00 Singida Black Stars vs KenGold 16:15 Simba SC vs JKT Tanzania Ivory Coast – Ligue 1 18:30 ASEC Mimosas vs AS Denguele 18:30 Club Omnisports de Korhogo vs Stade D’abidjan Egypt – Premier League 18:00...
  12. Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025 Baada Ya Mchezo Wa Leo 22 December 2024

    Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025 Baada Ya Mchezo Wa Leo 22 December 2024

    Huu hapa msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara (Nbc Premium league 2024/2025)
  13. Uchambuzi Mechi Ya Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Uchambuzi Mechi Ya Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Mchezo ulianza kwa timu zote kufanya makosa yanayofanana : kila timu walipoteza mipira kirahisi “Pass” lakini Yanga quality imeamua mchezo. Yanga na 4-2-3-1 kama kawaida yao lakini wakiwa na mali wanabadilika na kuwa 2-4-3-1 (Job na Bacca wanakuwa nyuma ya Aucho na Muda + Kibwana na Kibabage...
  14. Kikosi Cha Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Kikosi Cha Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Klabu ya Young Africans itacheza mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa tarehe 22 December 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Jijini Dar Es Salaam Kuanzia saa 10:00 jioni.
  15. Ratiba ya Mapinduzi Cup 2025

    Ratiba ya Mapinduzi Cup 2025

    Michuano ya Mapinduzi Cup 2025 inatarajiwa Kuanza rasmi January 03,2024 huku Fainali zikitarajiwa kufanyika January 13,2024. Droo ya kupanga Makundi itafanyika kwenye Uwanja wa Gombani Pemba, ambao utatumika kama uwanja wa mashindano baada ya uwanja wa Amaan kuwa kwenye maboresho. Kwa mujibu...
  16. Michezo Ya Leo Jumapili 22 December 2024

    Michezo Ya Leo Jumapili 22 December 2024

    Ratiba ya Mechi za Leo Jumapili 22 December 2024 Tanzania -NBC Premier League 16:00 Young Africans vs Tanzania Prisons England – Premier League 17:00 Everton vs Chelsea 17:00 Fulham vs Southampton 17:00 Leicester City vs Wolves 17:00 Manchester United vs Bournemouth 19:30 Tottenham Hotspur vs...
  17. Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Haya Hapa Magazeti Ya Mchezo ya Tanzania Leo Jumapili 22 December 2024
  18. Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara.

    Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara.

    SIMBA SC KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 13.✅ ⚽MOST GOALS 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 6 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇺🇬Desse Mukwala - 4 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇩Fabrice Ngoma - 2 🇹🇿Shomari Kapombe - 2 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Mohammed Hussein - 1...
  19. Mchezo Umetamatika: Kagera Sugar 2 vs 5 Simbasc

    Mchezo Umetamatika: Kagera Sugar 2 vs 5 Simbasc

    🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club ⚽Kapombe ⚽Ahoua ⚽Ngoma ⚽Mukwala ⚽Mukwala Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona.... Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...
Back
Top Bottom