Hizi hapa Nafasi za kazi Chama cha ushirika wa Akiba na Mikopo cha JAM MAONO LIMITED, Arusha katika mpango mkakati wake wa kupanua wigo wa kutoa huduma imeanzisha huduma za uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu na huduma za uwakala wa benki kupitia ofisi zake zilizopo eneo la Kimandolu – Jimbo...