Dirisha dogo la usajili litafungwa Januari 15 mwakani
Mpaka sasa Fadlu Davids ameuliza kama kuna uwezekano wa kupatikana Kiungo mkabaji asilia mmoja mwenye ubora sawa au zaidi ya Yusuf Kagoma
Simba wanafikiria kufungua mazungunzo na Kiungo mkabaji wa Timu ya Taifa Benin, (26)
Kocha Fadlu...