fei toto

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Jean Charles Ahoua Wa Simba sports club

    Jean Charles Ahoua Wa Simba sports club

    Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao 5+ na kutoa assists 5+ katika NBC Premier League msimu huu. ◉ 14 - Games ◉ 07 - Goals ◉ 05 - Assists ◉ 12 - G/A Wachezaji wenye G/A nyingi zaidi katika Nbc Premier League 2024|25 hadi sasa . ◉ 13 — Feisal Salum 🇹🇿 ◉ 12 — Ahoua Charles 🇮🇪 ◉...
  2. TETESI LEO: Usajili wa Feisal Salimu Kwenda Simba, Mazungumzo Yafanyika

    TETESI LEO: Usajili wa Feisal Salimu Kwenda Simba, Mazungumzo Yafanyika

    Kiungo mahiri wa mpira kutoka Zanzibar, Feisal Salum Abdalah, maarufu kama Fei Toto, ameonyesha dalili za kuachana na Azam FC, klabu aliyokuwa akiitumikia kwa muda sasa. Japokuwa uongozi wa Azam umejaribu kumshawishi aongeze mkataba wake unaoisha mwakani, Feisal anaonekana kutamani changamoto...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom