Ligi za Mabingwa za Mabara yetu duniani ,zilianza miaka ya 1950 kwa kule Ulaya na Afrika zilianza miaka ya 1960,
Hakukuwa na Makombe mengine ya Mpata Mpatae.
Rais wa UEFA wa miaka ile ,akaja na ubunifu wa kuanzisha Mashindano mengine yakiwemo ya Cup Winners Cup na Uefa Cup ,ili kuiwezesha Club...