Wawili Simba Kuikosa Singida Black Stars Leo
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa Kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Leo Jumamosi katika uwanja wa CCM LITI.
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Fadlu...