kikosi cha yanga vs tp mazembe

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi cha YANGA SC dhidi ya Mazembe 🇲🇱 Diarra 🇹🇿 Kibwana 🇨🇩 Boka 🇹🇿 Bacca 🇹🇿 Job 🇺🇬 Aucho 🇹🇿 Mudathir 🇧🇫 Aziz Ki 🇿🇼 Dube 🇹🇿 Mzize 🇨🇮 Pacome
  2. Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Baada ya Yanga kupata “Turning Point” yao pale Lubumbashi dhidi ya Tp Mazembe kwenye CAFCL leo wanarudi tena wakiwa nyumbani dhidi ya wababe hao hao kutoka DR Congo. Sead Ramovic ametambulisha system mpya ya uchezaji ndani ya Yanga kwenye michezo mitatu ya hivi karibuni : shape ya 4-2-3-1 kama...
  3. Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04 January 2025.
  4. Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    "...Sisi wachezaji wetu ndio ambao watakaotubakiza kwenye ramani ya Champions League na wao ndio watakaotutoa kwenye ramani kwa hiyo ufunguo upo kwao watuweke kwenye mashindano kwa kushinda au kututoa kwa kupoteza, uzuri na wachezaji wametoa ahadi yao kuwa watapigana kushinda."- Eng. Hersi Said...
  5. Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni. Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp...
  6. Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne. Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM Raja...
  7. Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub. Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani. Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
  8. Kikosi cha YANGA SC Vs TP MAZEMBE Leo Tarehe 14 December 2024 Hiki Hapa

    Kikosi cha YANGA SC Vs TP MAZEMBE Leo Tarehe 14 December 2024 Hiki Hapa

    Kikosi cha YANGA SC Vs TP MAZEMBE Leo Tarehe 14 December 2024 Hiki Hapa Kikosi kinachoanza dhidi ya TP Mazembe
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom