Korea International Cooperation Agency (KOICA), iliyoanzishwa mwaka 1991, ni shirika la serikali lililo na jukumu la kutoa programu za misaada kutoka Korea Kusini. Lengo la KOICA ni kuimarisha mahusiano ya kirafiki, ushirikiano, na kubadilishana uzoefu na nchi washirika kwa kusaidia maendeleo ya...
Hivi hapa sifa na Vigezo vya Kuomba Nafasi au kujiunga na Mafunzo ya KOICA 2025 kupitia Utumishi nchini Korea kusini kwa watanzania wote.
i. Awe mtumishi wa umma,
ii. Awe na umri wa miaka chini ya 40 kwa ujumla, au umri maalum kama unavyotakiwa na Chuo Kikuu,
iii. Awe na angalau uzoefu wa miaka...