kombe la shirikisho la caf

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo. “Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
  2. Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

    Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

    Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa. MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo...
  3. Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Habari za Michezo Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Simba SC ya Tanzania na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho la CAF ni zaidi ya pambano la pointi tatu. Huu ni mchezo wa heshima, historia, na nafasi ya kuonyesha ubabe kwenye soka la Afrika. Mashabiki wa soka barani Afrika wanatarajia burudani ya...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom