Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan
Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza!
Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...