Huu hapa msimamo wa kundi la Simba sports club Katika Michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC.
Simba akiwa anaongoza kundi hilo akiwa na points Tisa na michezo minne huku bravo do Maquis wakifuatia nafasi ya pili akiwa na alama Sita sawa na Cs Constantine wakiwa wamecheza michezo...