Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa.
MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo...