majina ya walioitwa kazini

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. G

    Orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Geita | Ajira za Shirika la ICAP

    Hii hapa Orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Geita | Ajira za Shirika la ICAP november 2024, Katibu Tawala Mkoa wa Geita anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote, kupitia tangazo la tarehe 19 Novemba 2024, kuwa usaili unatarajiwa kufanyika tarehe 03 Disemba 2024. Usaili huo...
  2. Majina ya Waliopata Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama: Kuitwa Kazini JSC

    Majina ya Waliopata Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama: Kuitwa Kazini JSC

    Dar Es Salaam: JSC imetangaza orodha ya majina ya walioitwa kazini leo pia waliopata kibali cha ajira Kufuatia kukamilika kwa usaili wa kada mbalimbali zilizotangazwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama tarehe 05 Julai, 2024, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama anawatangazia waombaji wafuatao...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom