Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024 ulilenga kuchagua wenyeviti wa vijiji, mitaa, vitongoji, wajumbe wa halmashauri za vijiji, na kamati za mitaa kwa kipindi cha miaka mitano (2024-2029). PAKUA PDF CHINI
Maandalizi na Uandikishaji:
Wapiga kura...