Maelekezo ya jinsi ya kununua tiketi kupitia mitandao ya simu kwa kutumia N-Card kwa wateja wa mitandao mbalimbali, ikiwa ni kwa ajili ya mechi za Simba SC. Maelekezo hayo yanahusu Vodacom M-Pesa, Tigo Pesa, TTCL Pesa, na Airtel Money. Yafuatayo ni maelezo kamili:
Vodacom M-Pesa
Piga 150*00#...