Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien
Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka huu 2025.
𝐖𝐀𝐂𝐇𝐄𝐙𝐀𝐉𝐈 22 𝐖𝐀𝐋𝐈𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐈𝐒𝐈𝐀
𝐆𝐎𝐀𝐋𝐊𝐄𝐄𝐏𝐄𝐑𝐒
🇬🇳Moussa CAMARA
🇹🇿Ally SALIM...
🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague
Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club
⚽Kapombe
⚽Ahoua
⚽Ngoma
⚽Mukwala
⚽Mukwala
Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona....
Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...