Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana .
Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...