nbc transfer news

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Wydad Casablanca Bado Wanahitaji Huduma Ya Mzinze Clement Wa Yanga

    Wydad Casablanca Bado Wanahitaji Huduma Ya Mzinze Clement Wa Yanga

    Klabu ya Wydad Casablanca imetenga kiasi cha fedha 831,082 US Dollar sawa na kiasi cha Billioni mbili za kitanzania kwaajili ya kunasa saini ya mchezaji Clement Mzize ifikapo dirisha kubwa la usajili. Hapo awali klabu ya Wydad Casablanca ilihitaji sana huduma ya nyota huyo anaeichezea klabu ya...
  2. Tetesi za Usajiri Dirisha Dogo December 2024, Ligi Kuu Tanzania.

    Tetesi za Usajiri Dirisha Dogo December 2024, Ligi Kuu Tanzania.

    Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba inafuatilia kwa karibu kiwango cha Allan Okello (24) mchezaji wa Klabu Vipers inayoshiriki Ligi kuu Nchini Uganda. Okello, ni miongoni mwa vijana waliojaliwa kipaji kwani huwa anaitwa na kianza kwenye kikosi cha kwanza cha Uganda Cranes licha ya Timu hiyo kuwa...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom