Papa Leo XIV, ambaye kabla ya kuchaguliwa alikuwa anajulikana kama Robert Francis Prevost, alizaliwa tarehe 14 Septemba 1955 katika jiji la Chicago, Marekani. Yeye ni Papa wa 267 wa Kanisa Katoliki na pia ni kiongozi wa mji wa Vatican – nafasi aliyoanza rasmi mnamo Mei 8, 2025. Kwa kuchaguliwa...
Jina la Papa Mpya Leo XIV, Umri, Kabila, Kuzaliwa, Familia Habari Njema Kutoka Vatican: Tunaye Papa Mpya
"Annuntio vobis gaudium magnum: Habemus Papam!"
(Ninawatangazia furaha kuu: Tunaye Papa!)
Katika tukio la kihistoria lililoshuhudiwa na ulimwengu mzima kutoka Dirisha la Kati la Basilika ya...