Klabu ya Simba sports club itasafiri tena Kuwafuata bravo do Maquis nchini Angola katika michuano ya shirikisho barani Africa CAFCC.
Mchezo Huo ni Mchezo mhimu sana Kwa Mnyama Simba kwani endapo akashinda au kutoa sare itampa nafasi ya kufuzu Moja Kwa Moja Kwenye hatua ya robo fainali Africa...
Kwenye Kundi hili kila timu 3 za juu zote zinamtazama Cs Sfaxien kama ngazi...atakaedondosha alama kwa Sfaxien anaweza kubaki.
Simba amefanikiwa kuchukua alama zote 6 kwa Sfaxien, Constantine alishachukua 3 ugenini na Bravos alichukua 3 nyumbani.
Kwa nature ya kundi hili sitoshangaa Simba...
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi wa Goli Moja Kwa bila Dhidi ya Cs Sfaxien,
Huku Stellenbosch FC wakishinda mbili bila Dhidi ya CD...
Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu.
Ni mechi ambayo ilihitaji wachezaji wanaokimbia sana kiwanjani , kulikuwa na matumizi ya mipira mingi mirefu , power play...