Kikosi chetu cha Simba Sc kinapambana leo na CS Sfaxien – Kombe la Shirikisho Afrika
Leo saa moja usiku, kikosi cha Simba kitashuka dimbani katika Uwanja wa Hammadi Agrebi, Tunis, kupambana na CS Sfaxien katika mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mechi ya ugenini...
KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo.
“Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
Mechi ya Simba SC dhidi ya KenGold inatarajiwa kuwa ya kusisimua sana! Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, watakuwa wenyeji wa KenGold kutoka Mbeya kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu, na Simba SC wanaingia wakiwa na morali ya juu baada ya ushindi wa dakika za mwisho dhidi...
Mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Simba SC ya Tanzania na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho la CAF ni zaidi ya pambano la pointi tatu. Huu ni mchezo wa heshima, historia, na nafasi ya kuonyesha ubabe kwenye soka la Afrika. Mashabiki wa soka barani Afrika wanatarajia burudani ya...
habari za michezo
kikosi cha leo simba
kikosi cha simba
kikosi cha simba leo
kikosi simba leo
kombe la shirikisho la caf
simbasimbascsimbasc vs cs sfaxien
Maelekezo ya jinsi ya kununua tiketi kupitia mitandao ya simu kwa kutumia N-Card kwa wateja wa mitandao mbalimbali, ikiwa ni kwa ajili ya mechi za Simba SC. Maelekezo hayo yanahusu Vodacom M-Pesa, Tigo Pesa, TTCL Pesa, na Airtel Money. Yafuatayo ni maelezo kamili:
Vodacom M-Pesa
Piga 150*00#...
Kikosi cha SIMBA SC Vs CS Constantine Leo Tarehe 08 December 2024 Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika Hiki Hapa hatua ya makundi. Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameweka wazi kuwa timu yake itaingia uwanjani kwa mpango maalum, huku wapinzani wao wakikumbwa na changamoto ya kuwakosa wachezaji...
cs constantine
kikosi cha simba
kikosi cha simba dhidi ya cs constantine
kikosi cha yanga leo
kikosi cha yanga vs cs constantine
kikosi kinacho anza leo simba
kikosi kinachoanza simba leo
simbasimbascsimba vs cs constantine
Simba SC wanajiandaa kwa mechi muhimu ya CAF Confederation Cup dhidi ya CS Constantine ya Algeria, huku macho yote yakiwa kwa kiungo mahiri Brahim Dib. Dib amekuwa moto msimu huu, akifunga mabao matano kwenye mechi 11 za ligi, pamoja na hat-trick ya kuvutia dhidi ya JS Kabylie, na pia kufunga...
Uzi wa Mnyama ambao tutatumia katika Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 🔥 #WenyeNchi #NguvuMoja
Kama ilivyotangazwa kwamba leo Novemba 20 Timu ya @simbasctanzania Itazindua jezi mpya zitakazo tumika kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika msimu wa 2024/25.