simba sc

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Je, Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Tarehe 05 Januari 2024 Kitatoboa?

    Je, Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Tarehe 05 Januari 2024 Kitatoboa?

    Kikosi chetu cha Simba Sc kinapambana leo na CS Sfaxien – Kombe la Shirikisho Afrika Leo saa moja usiku, kikosi cha Simba kitashuka dimbani katika Uwanja wa Hammadi Agrebi, Tunis, kupambana na CS Sfaxien katika mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mechi ya ugenini...
  2. Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo. “Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
  3. Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc PL Leo 29 December 2024.

    Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc PL Leo 29 December 2024.

    Baada ya michezo miwili ya Nbc PL Leo, huu hapa msimamo wa Ligi ya Nbc PL Tanzania 2024/2025.
  4. G

    Mechi ya SIMBA SC Vs KENGOLD itaanza Saa ngapi Leo?

    Mechi ya Simba SC dhidi ya KenGold inatarajiwa kuwa ya kusisimua sana! Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, watakuwa wenyeji wa KenGold kutoka Mbeya kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu, na Simba SC wanaingia wakiwa na morali ya juu baada ya ushindi wa dakika za mwisho dhidi...
  5. Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Habari za Michezo Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Simba SC ya Tanzania na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho la CAF ni zaidi ya pambano la pointi tatu. Huu ni mchezo wa heshima, historia, na nafasi ya kuonyesha ubabe kwenye soka la Afrika. Mashabiki wa soka barani Afrika wanatarajia burudani ya...
  6. VITUO VYA TIKETI MECHI YA SIMBA SC vs CS SFAXIEN

    VITUO VYA TIKETI MECHI YA SIMBA SC vs CS SFAXIEN

    Hivi hapa vituo vya tiketi mechi za Simba SC Mnyamaa
  7. jinsi ya kununua tiketi kupitia mitandao ya simu kwa kutumia N-Card mechi za Simba SC

    jinsi ya kununua tiketi kupitia mitandao ya simu kwa kutumia N-Card mechi za Simba SC

    Maelekezo ya jinsi ya kununua tiketi kupitia mitandao ya simu kwa kutumia N-Card kwa wateja wa mitandao mbalimbali, ikiwa ni kwa ajili ya mechi za Simba SC. Maelekezo hayo yanahusu Vodacom M-Pesa, Tigo Pesa, TTCL Pesa, na Airtel Money. Yafuatayo ni maelezo kamili: Vodacom M-Pesa Piga 150*00#...
  8. Kikosi cha SIMBA SC Vs CS Constantine Leo Tarehe 08 December 2024 Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika Hiki Hapa

    Habari za Michezo Kikosi cha SIMBA SC Vs CS Constantine Leo Tarehe 08 December 2024 Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika Hiki Hapa

    Kikosi cha SIMBA SC Vs CS Constantine Leo Tarehe 08 December 2024 Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika Hiki Hapa hatua ya makundi. Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameweka wazi kuwa timu yake itaingia uwanjani kwa mpango maalum, huku wapinzani wao wakikumbwa na changamoto ya kuwakosa wachezaji...
  9. G

    Habari za Michezo Simba SC Kuwakabili CS Constantine: Vita ya Kudhibiti Brahim Dib

    Simba SC wanajiandaa kwa mechi muhimu ya CAF Confederation Cup dhidi ya CS Constantine ya Algeria, huku macho yote yakiwa kwa kiungo mahiri Brahim Dib. Dib amekuwa moto msimu huu, akifunga mabao matano kwenye mechi 11 za ligi, pamoja na hat-trick ya kuvutia dhidi ya JS Kabylie, na pia kufunga...
  10. Jezi Mpya za Simba SC zitakazo tumika Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25

    Habari za Michezo Jezi Mpya za Simba SC zitakazo tumika Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25

    Uzi wa Mnyama ambao tutatumia katika Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 🔥 #WenyeNchi #NguvuMoja Kama ilivyotangazwa kwamba leo Novemba 20 Timu ya @simbasctanzania Itazindua jezi mpya zitakazo tumika kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika msimu wa 2024/25.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom