Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien
Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka huu 2025.
𝐖𝐀𝐂𝐇𝐄𝐙𝐀𝐉𝐈 22 𝐖𝐀𝐋𝐈𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐈𝐒𝐈𝐀
𝐆𝐎𝐀𝐋𝐊𝐄𝐄𝐏𝐄𝐑𝐒
🇬🇳Moussa CAMARA
🇹🇿Ally SALIM...
Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa.
MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo...