Dirisha dogo la usajili litafungwa Januari 15 mwakani
Mpaka sasa Fadlu Davids ameuliza kama kuna uwezekano wa kupatikana Kiungo mkabaji asilia mmoja mwenye ubora sawa au zaidi ya Yusuf Kagoma
Simba wanafikiria kufungua mazungunzo na Kiungo mkabaji wa Timu ya Taifa Benin, (26)
Kocha Fadlu...
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba inafuatilia kwa karibu kiwango cha Allan Okello (24) mchezaji wa Klabu Vipers inayoshiriki Ligi kuu Nchini Uganda.
Okello, ni miongoni mwa vijana waliojaliwa kipaji kwani huwa anaitwa na kianza kwenye kikosi cha kwanza cha Uganda Cranes licha ya Timu hiyo kuwa...
nbc transfer news
simba sports club transfer
tetesi za usajiri dirisha dogo 2024
tetesi za usajiri ligi kuu
usajirimsimbaziusajiri yanga
wananchiforum
young african transfer