Na WAF, Dodoma Kurejea kwa Toto Afya Kadi: Mwanga Mpya kwa Bima ya Afya ya Watoto
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, ametangaza kwa furaha kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi, mpango unaolenga kutoa suluhisho la bima ya afya kwa watoto nchini Tanzania. Uzinduzi huu umefanyika leo tarehe 17 Desemba...