Klabu ya Singida Black Stars imetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC.
Mchezo huo utapigwa Leo Jumamosi tarehe 28 December 2024, kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Liti, Mkoani Singida.
Viingilio hivo vimetajwa kuwa Kwa mzunguuko itakuwa ni Tsh 10,000, huku...