watumishi

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Nafasi za Ufadhili wa Masomo kwa Kozi fupi India Kupitia Utumishi 2025

    Nafasi za Ufadhili wa Masomo kwa Kozi fupi India Kupitia Utumishi 2025

    Maombi yanakaribishwa kutoka kwa watumishi wa serikali wa Tanzania wenye sifa, ili kujiunga na kozi za mafunzo zifuatazo ambazo zitafanyika nchini India. A. Ugaramiaji wa masomo Gharama zote za mafunzo chini ya Mpango huu, ikijumuisha tiketi za ndege za kwenda na kurudi, ada za masomo, malazi...
  2. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yatoa ufafanuzi kuhusu Shambulio la Gari na Watumishi wa TRA Tegeta kwa Ndevu

    TAARIFA Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yatoa ufafanuzi kuhusu Shambulio la Gari na Watumishi wa TRA Tegeta kwa Ndevu

    TAARIFA KWA UMMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yatoa ufafanuzi kuhusu Shambulio la Gari na Watumishi wa TRA Tegeta kwa Ndevu
  3. G

    PDF Jinsi ya Kupata Kibali cha Uhamisho kwa Mtumishi wa Umma 2024/2025 | Utumishi au TAMISEMI 20241109

    Hatua Muhimu za au jinsi ya Kuomba Kibali cha Uhamisho kwa Mtumishi | Watumishi wa Umma 2024/2025 Kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa kwenda TAMISEMI. Kwa mtumishi anayehitaji kuhamishwa kwenda sehemu nyingine kupitia TAMISEMI, ni muhimu kuwa na nyaraka zote zinazohitajika ili kuharakisha mchakato...
  4. G

    PDF Jinsi ya Kuhama kama Mtumishi wa Umma kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine | TAMISEMI 2024/25 20241109

    Hizi hapa hatua, Jinsi ya Kuhama kama Mtumishi wa Umma kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine | TAMISEMI 2024/25 au Utumishi Mamlaka za Uhamisho Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 pamoja na Kanuni za mwaka 2003, Mamlaka za Uhamisho ni kama ifuatavyo: Katibu Mkuu...
  5. S

    Ajira za watumishi wa umma 2024/2025

    Ajira za watumishi wa umma ni nafasi zinazotolewa na serikali kwa watu wenye sifa maalum na uzoefu wa kazi. Kwa mwaka 2024, ajira hizi zinahusisha nafasi katika sekta kama elimu, afya, uhandisi, na huduma za kijamii, zikiwa na lengo la kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wananchi. Ajira...
  6. Viwango Vya Mishahara Serikalini Utumishi MDAs & LGAs, TGOS, TGS, TGTS, TGHOS

    Viwango Vya Mishahara Serikalini Utumishi MDAs & LGAs, TGOS, TGS, TGTS, TGHOS Aprili 2025

    Hivi hapa Viwango Vya Mishahara Serikalini Utumishi MDAs & LGAs, TGOS, TGS, TGTS, TGHOS, kada za Afya, Kada za Walimu pamoja na taasisi mbalimbali nchini Tanzania mshahara kwa Aprili 2025. Mshahara ni malipo ya fedha anayopokea mfanyakazi kutoka kwa mwajiri wake kwa kufanya kazi kwa muda...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom