Ligi za Mabingwa za Mabara yetu duniani ,zilianza miaka ya 1950 kwa kule Ulaya na Afrika zilianza miaka ya 1960,
Hakukuwa na Makombe mengine ya Mpata Mpatae.
Rais wa UEFA wa miaka ile ,akaja na ubunifu wa kuanzisha Mashindano mengine yakiwemo ya Cup Winners Cup na Uefa Cup ,ili kuiwezesha Club...
Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho ni kidogo kuliko nafasi walizotengeneza.
Ramovic, aliyepata ushindi wa kwanza CAF akiwa kocha wa...
Yanga walianza mechi vizuri sana : umiliki wa mpira , intensity ya hali ya juu , pressing , walikuwa wanapasiana mpira vizuri sana wakati wanaanza “Build Up” na walitumia sana eneo la katikati kutengeneza nafasi kwasababu Tp Mazembe walikuwa wanazuia wakiwa chini lakini hawakufanya pressing ya...
Mechi nzuri ya kuitazama, Yanga wanamiliki mali vizuri lakini wakifika kwenye nusu ya Mazembe wanakuwa na idadi ndogo ya wachezaji + Tp wanazuia vizuri wakiwa kwenye “Mid block” : Yanga wanapata runners wengi eneo la mbele na wapo sharp kwenye kuachia mipira
Wanachokifanya Mazembe wakati...
Baada ya Yanga kupata “Turning Point” yao pale Lubumbashi dhidi ya Tp Mazembe kwenye CAFCL leo wanarudi tena wakiwa nyumbani dhidi ya wababe hao hao kutoka DR Congo.
Sead Ramovic ametambulisha system mpya ya uchezaji ndani ya Yanga kwenye michezo mitatu ya hivi karibuni : shape ya 4-2-3-1 kama...
"...Sisi wachezaji wetu ndio ambao watakaotubakiza kwenye ramani ya Champions League na wao ndio watakaotutoa kwenye ramani kwa hiyo ufunguo upo kwao watuweke kwenye mashindano kwa kushinda au kututoa kwa kupoteza, uzuri na wachezaji wametoa ahadi yao kuwa watapigana kushinda."- Eng. Hersi Said...
Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne.
Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM
Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM
Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM
As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM
Raja...
Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub.
Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani.
Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
Kwenye michuano ya CAF Interclub hatua ya makundi Yanga wanaburuza mkia wakiwa na alama moja tu kwenye msimamo wa kundi A huku kinara Al Hilal akiwa na alama zake 9.
Wana nafasi ya kuongoza kundi...?
Hapa kimahesabu uwezo wa kuongoza Kundi kwa Yanga haupo tena
Kivipi...?
Yanga wamebaki na...
1.YANGA vs TP MAZEMBE 🇨🇩 -JANUARY 4 KWA MKAPA Saa kumi Jioni
2.AL HILAL 🇸🇩 Vs YANGA - JANUARY 12 MAURITANIA 🇲🇷 Saa nne usiku
3.YANGA Vs MC ALGER 🇩🇿 - JANUARY 18 KWA MKAPA saa kumi Jioni
Wananchi taarifa iwafikie kuwa hakuna mchezo wowote wa ligi mpaka michezo yenu yote ya kimataifa...
Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa.
Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar.
Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...