yanga caf

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Sisi Tupo Ligi Ya Mabingwa CAF, Asema Haji Manara

    Sisi Tupo Ligi Ya Mabingwa CAF, Asema Haji Manara

    Ligi za Mabingwa za Mabara yetu duniani ,zilianza miaka ya 1950 kwa kule Ulaya na Afrika zilianza miaka ya 1960, Hakukuwa na Makombe mengine ya Mpata Mpatae. Rais wa UEFA wa miaka ile ,akaja na ubunifu wa kuanzisha Mashindano mengine yakiwemo ya Cup Winners Cup na Uefa Cup ,ili kuiwezesha Club...
  2. Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho ni kidogo kuliko nafasi walizotengeneza. Ramovic, aliyepata ushindi wa kwanza CAF akiwa kocha wa...
  3. Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCL 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCL 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Huu hapa msimamo wa Makundi yote ya Kilabu Bingwa Africa CAFCL baada ya kukamilisha Kwa mzunguko wa nne.
  4. Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Yanga walianza mechi vizuri sana : umiliki wa mpira , intensity ya hali ya juu , pressing , walikuwa wanapasiana mpira vizuri sana wakati wanaanza “Build Up” na walitumia sana eneo la katikati kutengeneza nafasi kwasababu Tp Mazembe walikuwa wanazuia wakiwa chini lakini hawakufanya pressing ya...
  5. Mapumziko: Young SC 1️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mapumziko: Young SC 1️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mechi nzuri ya kuitazama, Yanga wanamiliki mali vizuri lakini wakifika kwenye nusu ya Mazembe wanakuwa na idadi ndogo ya wachezaji + Tp wanazuia vizuri wakiwa kwenye “Mid block” : Yanga wanapata runners wengi eneo la mbele na wapo sharp kwenye kuachia mipira Wanachokifanya Mazembe wakati...
  6. Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Baada ya Yanga kupata “Turning Point” yao pale Lubumbashi dhidi ya Tp Mazembe kwenye CAFCL leo wanarudi tena wakiwa nyumbani dhidi ya wababe hao hao kutoka DR Congo. Sead Ramovic ametambulisha system mpya ya uchezaji ndani ya Yanga kwenye michezo mitatu ya hivi karibuni : shape ya 4-2-3-1 kama...
  7. Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    "...Sisi wachezaji wetu ndio ambao watakaotubakiza kwenye ramani ya Champions League na wao ndio watakaotutoa kwenye ramani kwa hiyo ufunguo upo kwao watuweke kwenye mashindano kwa kushinda au kututoa kwa kupoteza, uzuri na wachezaji wametoa ahadi yao kuwa watapigana kushinda."- Eng. Hersi Said...
  8. Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne. Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM Raja...
  9. Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub. Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani. Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
  10. Msimamo Wa Yanga Kwenye Makundi Ya CAFCL Na Nafasi Ya Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali

    Msimamo Wa Yanga Kwenye Makundi Ya CAFCL Na Nafasi Ya Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali

    Kwenye michuano ya CAF Interclub hatua ya makundi Yanga wanaburuza mkia wakiwa na alama moja tu kwenye msimamo wa kundi A huku kinara Al Hilal akiwa na alama zake 9. Wana nafasi ya kuongoza kundi...? Hapa kimahesabu uwezo wa kuongoza Kundi kwa Yanga haupo tena Kivipi...? Yanga wamebaki na...
  11. Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    1.YANGA vs TP MAZEMBE 🇨🇩 -JANUARY 4 KWA MKAPA Saa kumi Jioni 2.AL HILAL 🇸🇩 Vs YANGA - JANUARY 12 MAURITANIA 🇲🇷 Saa nne usiku 3.YANGA Vs MC ALGER 🇩🇿 - JANUARY 18 KWA MKAPA saa kumi Jioni Wananchi taarifa iwafikie kuwa hakuna mchezo wowote wa ligi mpaka michezo yenu yote ya kimataifa...
  12. Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar. Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom