Yanga walianza na mikakati sahihi , wakiwa na mpira 2-3-4-1 (Joba na Bacca wanakuwa nyuma then Aucho mbele yao “Pembe tatu shape” huku Kibwana na Boka wanakuwa mstari mmoja then Muda anasogea juu sawa na Aziz Ki , Pacome na Mzize …. Baada ya hapo matokeo yake yalikuwa ni nini ?
Yanga walifanya...
KIKOSI Cha Young African's vs Singida Fountain Gate Leo 29 December 2024
Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate .
Mchezo huo utapigwa December 29, 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex Mkoani Dar es salaam.
Kuelekea mchezo...
Leo Jumapili ya mwisho Kwa Mwaka huu 2024, itakwenda kushereheshwa na mechi kubwa kabisa ya Ligi kuu Nbc PL Tanzania kati ya Mabingwa watetezi na wawakirishi pekee wa Tanzania kunako michuano ya kilabu bingwa Africa CAFCL, Yanga Dhidi ya Singida Fountain Gate katika uwanja wa KMC Complex Dar es...
Mechi za Leo Jumapili 29 December 2024
Tanzania – Premier League
16:00 Coastal Union vs Kinondoni MC
16:00 Young Africans vs Fountain Gate FC
Tanzania – NBC Championship
16:00 Kiluvya FC vs African Sports
England – Premier League
17:30 Leicester City vs Manchester City
18:00 Crystal Palace vs...