Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho ni kidogo kuliko nafasi walizotengeneza.
Ramovic, aliyepata ushindi wa kwanza CAF akiwa kocha wa...
Kwenye michuano ya CAF Interclub hatua ya makundi Yanga wanaburuza mkia wakiwa na alama moja tu kwenye msimamo wa kundi A huku kinara Al Hilal akiwa na alama zake 9.
Wana nafasi ya kuongoza kundi...?
Hapa kimahesabu uwezo wa kuongoza Kundi kwa Yanga haupo tena
Kivipi...?
Yanga wamebaki na...