Ajira: Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Februari 2025

Ajira: Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Februari 2025 Ajira Mpya 2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi.
Hili hapa tangazo la Ajira mpya, Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Februari 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo.
Ajira: Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Februari 2025

Leo, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa kifungu cha 14(4) cha Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Sura ya 427, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 5(1) ya Kanuni za Utumishi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji za mwaka 2008, anatangaza nafasi za ajira ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa vijana wenye sifa zifuatazo:

Bonyeza hapa kudownload tangazo la ajira zimamoto
 
Ramadhan mbaraka
S.L.P 22
KYAKA MISSENY KAGERA
13/02/2025

KWA,
GENERAL KAMISHINA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

YAH.MAOMBI YA KAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI TANZANIA

Tafadhal husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi RAMADHAN BUBERWA MBARAKA Ni mkazi mkoa kagera willaya missenyi ni mwanafunzi aliyeitimu kidato cha nne mwaka 2023 nina miaka 20 lengo la kukuandikia barua hii ni kuomba kazi ya kujiunga na jeshi la zimamoto na uokoaji mimi nina akili timamu na najua kuandika na kusoma vizuri lakini nina afya nzuri na kazi naiweza kuifanya vizuri kwa hali ile yoyote .misho wa barua hii ni kwamba nitashukuru iwapo ombi langu litakubaliwa .MUNGU AKUBALIKI KATIKA KAZI ZAKO AMIN.
Wako
RAMADHAN MBARAKA
R.mbaraka
 
Ramadhan mbaraka
S.L.P 22
KYAKA MISSENY KAGERA
13/02/2025

KWA,
GENERAL KAMISHINA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

YAH.MAOMBI YA KAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI TANZANIA

Tafadhal husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi RAMADHAN BUBERWA MBARAKA Ni mkazi mkoa kagera willaya missenyi ni mwanafunzi aliyeitimu kidato cha nne mwaka 2023 nina miaka 20 lengo la kukuandikia barua hii ni kuomba kazi ya kujiunga na jeshi la zimamoto na uokoaji mimi nina akili timamu na najua kuandika na kusoma vizuri lakini nina afya nzuri na kazi naiweza kuifanya vizuri kwa hali ile yoyote .misho wa barua hii ni kwamba nitashukuru iwapo ombi langu litakubaliwa .MUNGU AKUBALIKI KATIKA KAZI ZAKO AMIN.mawasiliano ni 0786320867

Wako
RAMADHAN MBARAKA
R.mbaraka
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom